Noble Quran » Swahili » Sorah Al-Mutaffifin (Those Who Deal in Fraud)
Choose the reader
Swahili
Sorah Al-Mutaffifin (Those Who Deal in Fraud) - Verses Number 36
الَّذِينَ إِذَا اكْتَالُوا عَلَى النَّاسِ يَسْتَوْفُونَ ( 2 )  
 
Ambao wanapo jipimia kwa watu hudai watimiziwe.
وَإِذَا كَالُوهُمْ أَو وَّزَنُوهُمْ يُخْسِرُونَ ( 3 )  
 
Na wao wanapo wapimia watu kwa kipimo au mizani hupunguza.
يَوْمَ يَقُومُ النَّاسُ لِرَبِّ الْعَالَمِينَ ( 6 )  
 
Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu wote?
كَلَّا إِنَّ كِتَابَ الْفُجَّارِ لَفِي سِجِّينٍ ( 7 )  
 
Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya shaka yamo katika Sijjin.
وَمَا يُكَذِّبُ بِهِ إِلَّا كُلُّ مُعْتَدٍ أَثِيمٍ ( 12 )  
 
Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.
إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ ( 13 )  
 
Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!
كَلَّا ۖ بَلْ ۜ رَانَ عَلَىٰ قُلُوبِهِم مَّا كَانُوا يَكْسِبُونَ ( 14 )  
 
Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao hao walio kuwa wakiyachuma.
كَلَّا إِنَّهُمْ عَن رَّبِّهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّمَحْجُوبُونَ ( 15 )  
 
Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi.
ثُمَّ يُقَالُ هَٰذَا الَّذِي كُنتُم بِهِ تُكَذِّبُونَ ( 17 )  
 
Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.
كَلَّا إِنَّ كِتَابَ الْأَبْرَارِ لَفِي عِلِّيِّينَ ( 18 )  
 
Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika I'liyyin.
خِتَامُهُ مِسْكٌ ۚ وَفِي ذَٰلِكَ فَلْيَتَنَافَسِ الْمُتَنَافِسُونَ ( 26 )  
 
Muhuri wake ni miski. Na katika hayo washindanie wenye kushindana.
إِنَّ الَّذِينَ أَجْرَمُوا كَانُوا مِنَ الَّذِينَ آمَنُوا يَضْحَكُونَ ( 29 )  
 
Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa wakiwacheka walio amini.
وَإِذَا انقَلَبُوا إِلَىٰ أَهْلِهِمُ انقَلَبُوا فَكِهِينَ ( 31 )  
 
Na wanapo rudi kwa watu wao hurudi nao wamefurahi.
وَإِذَا رَأَوْهُمْ قَالُوا إِنَّ هَٰؤُلَاءِ لَضَالُّونَ ( 32 )  
 
Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio khasa walio potea.
Random Books
- Mazungumzo ya Mwislamu na Mkristo-Source : http://www.islamhouse.com/p/380265 
- Hisn Al-Muslim (Kinga Ya Muislamu katika Nyiradi Za Qur-ani Na Hadithi Za Mtume)-Formation : Said Ali ibn Wahf AI-Qahtaani Source : http://www.islamhouse.com/p/1590 
- ABU HURAIRA SAHABA WA MTUME-Source : http://www.islamhouse.com/p/336329 
- MAHARAMISHO YALIYODHARAULIWA NA WAISLAMU WENGI AMBAYO Nl WAJIBU KUJIHADHARI NAYO-From issues : لجنة الدعوة والتعليم بالمدينة المنورة Source : http://www.islamhouse.com/p/339836 
- ABU HURAIRA SAHABA WA MTUME-Source : http://www.islamhouse.com/p/336329 















